Hiki hapa ni kikosi cha Madaktari mifugo wakipata machache baada ya kipindi cha kwanza
Na hiki hapa ni kikosi cha wahandisi wakiwa mapumzikoni.
Kipindi cha kwanza kilimalizika kwa timu hizi ktoshana nguvu kwa kila moja kutochungulia lango la mwenzie japo timu ya wahandisi ilionekana kuutawala mchezo,
Kipindi cha pili kilianza kwa timu zote kuonesha ufundi wao na kucheza mpira wa kasi lakini mwisho wa dakika tisini timu ya wahandisi waliibuka na ushindi wa magoli 2-0 na kusonga mbele na mashindano hayo
Mashabiki nao walikua na yao baada ya mechi kuisha embu tazama baadhi ya picha baada ya mchezo
Nae huyu na vuvuzela lake..upande wa wahandisi ilikua ni burudani
Hapa mashabiki wa timu ya wahandisi wakishangweka baada ya timu yao kuwapa raha
Mshindano haya yanaendelea tena kesho na kamera yetu itakuwa pamoja na wewe.
Na Mjumbe Jr
SUA
Post a Comment