KILA KONA YA MTAA HILI NDILO HABARI YA TOWN,MWENZANGU NA MIMI MAISHA NI KAZI NA SIO PROPAGANDA!
Maisha bora yanapatikana kwa kufanya kazi kwa bidii na wala sio njia za mkato kama hizi,Hili tangazo limenaswa na moja wa vijana wa mjumbe blog hapa mjini Morogoro
Na Mjumbe Jr
Post a Comment