Mke wa Ridhiwani Kikwete ,Arafa akimuombea kura mumewe kwa wananchi wa kata ya Pera
Mwigulu Nchemba akimnadi mgombea wa ubunge wa CCM Jimbo la Chalinze Ndugu Ridhiwani Kikwete.
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wananchi wa Pera na
kuwaambia mwisho wa wapinzani Chalinze ni tarehe 6 siku ya kupiga kura.
Mwenyekiti
wa CCM Wilaya ya Kinondoni Ndugu Salum Madenge akihutubia wakazi wa
Pera ,Chalinze wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja
vya michezo Pera Shuleni.
Kila mwenye uwezo wa kucheza alicheza.
Picha Na AD
MJUMBE SR
Post a Comment