FYOOOOO
UTAJISIKIAJE?
Jamaa yako wa Mbali kila siku anakupigia simu kuwa ame misi yale mapishi yako ya Kisamvu unayo pikaga....
Siku anakuja kukutembelea Anakukumbusha tena Umpikie kisamvu....
Ume jipiga piga Ukavuka hata Kijiji cha pili kwenda kutafuta kisamvu....
Ukakipika... Alipo fika Ukamwandalia mezani! Unakuja Kugundua baadaye kumbe Kisamvu chako alikimwagia kwenye Kopo la Taka(Dust bin) na Alikuwa anatumia Kitimoto aliyo toka nayo kwake.... Hali anajua wazi kuwa Imani yako Haikuruhusu Kutumia Kitimoto.
#ANGALIZO Katiba Mpya
:SIO MAONI YA WARIOBA;NI MAONIN YA WANA NCHI.
ELASTO MBELLA
NJOMBE
Post a Comment