
Stendi united waliingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.
Picha Mali ya MJENGWA
LIKE Ukurasa wetu MJUMBE BLOG facebook au Tutembelee Mtandaoni kwa kuandika MJUMBE BLOG Kisha ingia hapi ili Upate Picha,Matangazo,Taarifa Mpya na Habari Muhimu Kila Mara.
©Mjumbe Blog Volunteerr
Post a Comment