Ndugu
mashabiki ziko tetesi nyingi sana kuhusu wachezi wetu kuchukuliwa na
timu zingine zinazojiita kongwe naomba kuwaeleza kuwa wachezaji wetu
wana mikataba kisheria hivyo basi hadi sasa hakuna timu hata moja iliyo
jitokeza kwenye uongozi kuonyesha nia hiyo club haina taarifa yeyote
kuhusu ombi la kununua mchezaji na pia hatuna mpango huo kwa sasa
tunasimama katika sheria ondoeni hofu tutakuwa imara zaidi msimu ujao.
Home
»
»Unlabelled
» KWA WALE WAPENZI NA MASHABIKI WA MBEYA CITY TAARIFA HII INA WAHUSU SANA!
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment