R.I.P NEEMA MWAKAJWANGA
Afariki kwa ajali ya kugongwa na gari maeneo ya Ubungo Dar es Salaam na ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho Chuo kikuu Dar es salaam juzi majira ya saa 1 usiku.Amezikwa Mbeya na tukiwa marafiki na ndugu zako wa karibu,Tutakukumbuka daima;
Mjumbe Jr
Post a Comment