Hili Bango Nalo Lilibebwa na Wafanyakazi Siku ile
Nahapa nilivutiwa na Sare za Walimu Mwaka huu,haikosi wakipanda daladala watalipa Nauli ya Mwanafunzi.
Taswira Jukwaa kuu Kama Kamera yetu ilivyo Nasa.
Baadhi ya wafanyakazi walio jitokeza Katika Sherehe za Mei mosi,Rukwa
Zawadi zikitolewa kwa Watumishi Mabali mbali
Baadhi ya Watumishi Wakiwa Katika Picha ya Pamoja na Watumishi Wenzao Walio Pata Zawadi
Pichani ni Wazee Wakifukuza Kuku na Kumkamata katika Uwanja wa Nelson Mandela,Sumbawanga
Akina Bibi Nao hawakuachwa Nyuma walifukuza Kuku na Mshindi Kujiondokea na Jogoo lake
Burudani ya Kiasili zaidi nayo Haikuachwa Nyuma,Hii ni Ngoma ya Shanji
Mdau wetu wa MJUMBE BLOG Anaye Ishi Kijijini ama Nje kidogo na Barabara ya Lami amebahatika kuchuka Matukuio Machache tu Katika Viwanja vya Nelson Mandela Mkoani Rukwa.
Asante ya Picha Zote kwa Hisani ya Kamera Yetu
MJUMBE Sr
SUMBAWANGA/RUKWA
Post a Comment