KIKAO,KIKAO,KIKAO,KIKAO KIKAO
Ndugu wadau,mnatangaziwa kua kutakua na kikao siku ya alhamisi tarehe 19/06/2014,kikao kinatarajiwa kufanyika ktk eneo la shule ya sekondary Simbega.Lengo la kikao ni kujadiliana ni jinsi gani tuboreshe umoja wetu,pia tunawakaribisha wenye ajenda mbalimbali waziwasilishe kupitia namba zifuatazo 0752181161(Alex Kakyela),0757358872(Given Msyete),0764510249(Athanas Ndosite),au comment hapa.
NB;Sambaza ujumbe huu kwa wadau wote wa Simbega kwa njia ya simu maana ni wachache wanaotumia mitandao ya kijamii.
UJUMBE HUU UNAPO KUFIKIA MWAMBIE NA MWENZAKO! PIA UNAWEZA UKA SHARE ILI WENGI WAUPATE UJUMBE MAPEMA NA WAJIANDAE PIA.
Ndugu wadau,mnatangaziwa kua kutakua na kikao siku ya alhamisi tarehe 19/06/2014,kikao kinatarajiwa kufanyika ktk eneo la shule ya sekondary Simbega.Lengo la kikao ni kujadiliana ni jinsi gani tuboreshe umoja wetu,pia tunawakaribisha wenye ajenda mbalimbali waziwasilishe kupitia namba zifuatazo 0752181161(Alex Kakyela),0757358872(Given Msyete),0764510249(Athanas Ndosite),au comment hapa.
NB;Sambaza ujumbe huu kwa wadau wote wa Simbega kwa njia ya simu maana ni wachache wanaotumia mitandao ya kijamii.
UJUMBE HUU UNAPO KUFIKIA MWAMBIE NA MWENZAKO! PIA UNAWEZA UKA SHARE ILI WENGI WAUPATE UJUMBE MAPEMA NA WAJIANDAE PIA.
MJUMBE Sr
Post a Comment