Unknown Unknown Author
Title: SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MIUNDO MBINU YA MAJI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Naibu kat...

i_68e91.jpg
Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Injinia Mbogo Mfutakamba (katikati) wakati wa akizindua chapisho la Kanuni na utaratibu wa kuzingatia kwa Mamlaka zinazohusika na usimamizi  na usambazaji wa maji nchini wakati wa mkutano wa mwaka wa wataalaam na watendaji wa usimamizi wa sekta ya maji nchini.
p_8b311.jpg
Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Injinia Mbogo Mfutakamba (katikati) akiwaonesha wataalam na watendaji wa  usimamizi wa sekta ya maji nchini chapisho la Kanuni na utaratibu wa kuzingatia kwa Mamlaka zinazohusika na usimamizi  na usambazaji wa maji nchini wakati wa mkutano wao wa mwaka jijini Dar es salaam.
9_8fc80.jpg
Sehemu ya Wataalam nawatendaji wa Mamlaka zinazohusika na usimamizi  na usambazaji wa maji nchini waliohudhuria mkutano wa mwaka wa wataalaam na watendaji wa usimamizi wa sekta ya maji nchini.
Asante kwa Awadh Ibrahim

MJUMBE Sr

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top