Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imewasiri leo asubuhi majira ya
saa 4 tayari kuwakabiri wageni wao Malawi katika uwanja wa Taifa jijini
Dar es salaam.
Kikosi hicho kimetua kujipima nguvu na Malawi ikiwa ni majaribio kabla ya kucheza na Zimbabwe katika mchezo wa marudiano wa kusaka nafasi ya kuingia hatua ya makundi ya kombe la mataifa ya Afrika mwakani.
Stars imetua leo ikitokea jijini Mbeya ambapo ilikuwa imekita kambi Tukuyu kwa maandalizi ya michezo inayo ikabiri timu hiyo ikiwemo ya leo itakayo pigwa majira ya saa 11 jioni.
MJUMBE Sr
Kikosi hicho kimetua kujipima nguvu na Malawi ikiwa ni majaribio kabla ya kucheza na Zimbabwe katika mchezo wa marudiano wa kusaka nafasi ya kuingia hatua ya makundi ya kombe la mataifa ya Afrika mwakani.
Stars imetua leo ikitokea jijini Mbeya ambapo ilikuwa imekita kambi Tukuyu kwa maandalizi ya michezo inayo ikabiri timu hiyo ikiwemo ya leo itakayo pigwa majira ya saa 11 jioni.
MJUMBE Sr
Post a Comment