Vip wewe mdau wa Mjumbe blog ulikua na ndoto gani enz hizo?
Hapa ni maeneo ya morogoro na niseme tu ili ndoto za vijana hawa wachanga zitimie basi mchango wetu wa kimawazo ya kuwajenga na kuwamulikia njia ni jukumuletu sote.
Mjumbe Jr
Morogoro
Post a Comment