Unknown Unknown Author
Title: WATU NA OFISI ZAO BWANA! SALUTE SANA WAPIGANAJI POPOTE PALE MLIPO!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mdogo wangu Theofrida,nakumbuka kuna mwaka amewahi nambia "kaka yani Fedha huwa haitoshi ksmwe.Kila unapo ongeza kipato na matumizi yak...

Mdogo wangu Theofrida,nakumbuka kuna mwaka amewahi nambia "kaka yani Fedha huwa haitoshi ksmwe.Kila unapo ongeza kipato na matumizi yake  yanaongezeka! Maneno haya ali yaongea Zamani sana naamini yeye atakuwa kasha yasahau leo.Nataka nisemaje? Maisha ni popote pale chamsingi usikae bure! Vijana Tujishughulishe bila kungoja fadhira za kazi rasmi tuoneshe nia kwanza;kisha tulenge juu zaidi ipo SIKU TUTA FANIKIWA TU.Kijana pichani Amekutwa Njombe stendi Leo akiwa ofisini kwake.HAPa ana ingiza nyimbo kwenye simu na kurekebisha matatizo madogo madogo kwenye simu.Asante ya picha Kamera yetu ya MJUMBE BLOG

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top