Unknown Unknown Author
Title: YULE MWANZILISHI WA KAMPUNI YA BIASHARA YA MTANDAONI ALIBABA AONGOZA KWA KUWA MTU MWENYE UTAJIRI MKUBWA CHINA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mwanzilishi wa kampuni ya Alibaba, Jack Ma amekuwa mtu tajiri zaidi nchini China. Jack ana utajiri wa dola bilioni 25. Ma, aliyeanz...


Mwanzilishi wa kampuni ya Alibaba, Jack Ma amekuwa mtu tajiri zaidi nchini China. Jack ana utajiri wa dola bilioni 25.
jack_ma_alibaba
Ma, aliyeanzisha kampuni ya biashara ya mtandaoni ya China kutoka kwenye nyumba ndogo aliyokuwa akiishi, amekamata nafasi hiyo kwa mujibu wa Hurun Report. Amemzidi mwenyekiti wa Wanda Group Wang Jianlin, mwenye utajiri wa dola bilioni 24.2 na mmilikiwa wa kampuni ya nishati ya Hanergy, Li Jejun mwenye utajiri wa dola bilioni 20.8.
KIBONAJORO

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top