Pichani ni milingoti ya shamba la bustani ya Mlowo ikiwa ime katwa yote na kuanza kupasuliwa mbao
Sehemu ya shamba ikiwa ime katwa miti yote na kuiacha miti ya asili tu michache ambayo ilikuwepo eneo hilo
Hii ndiyo Taswira utakayo kutana nayo kama ukitembelea ulio kuwa mstitu wa halmashauri ya wilaya ya Mbozi,Katika kijiji cha Mlowo(Forest)
Hali ilivyo sasa ni uangavu unao kuwezesha kufikia kuona kata upeo wa macho yako hakuna msitu tena hakuna ule ukijani wenye giza tena ambao ulibuniwa kama kivutio kwa vijana wengi ndani ya kijiji cha Mlowo.
Pichani ni Mdau Mwenza wa MJUMBE BLOG akiwa eneo la Tukio ambapo alishuhudia magari yanayo beba mbao kutoka katika bustani hiyo,Akina mama na watoto wakijibebea kuni na mabanzi pia Picha Zifuatazo Zilipigwa mwaka juzi zikionesha sehemu ya Bustani hiyo ambayo ilijulikana kama FOREST 
Sehemu ya Msitu huo kama ulivyo kuwa ukionekana pichani mwaka juzi,(Picha na Maktaba)posted from Bloggeroid
Post a Comment