Unknown Unknown Author
Title: TASWIRA PICHA:MSOFE "NITA WATOA ...NDANI YA MASAA! " HAWATA SHINDA MTAANI KWANGU....!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Pichani ni Mhe.Msofe akiwahutubia baadhi ya Wananchi wa mtaa wa Mianzini,kwenye chaguzi za serikari za mitaa. Baadhi ya wananchi walio h...
Pichani ni Mhe.Msofe akiwahutubia baadhi ya Wananchi wa mtaa wa Mianzini,kwenye chaguzi za serikari za mitaa.
Baadhi ya wananchi walio hudhuria kampeni hizo, ********************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************** Vijana wangu wame kuwa waki kamatwa kila siku na Kubambikizwa kesi mbali mbali! mimi kama mwananchi namba mbili kamwe sitakubali kijana wangu akae polisi kwa zaidi ya masaa 24 Kabla sijamtoa... Pamoja na mikakati yote wanayo ipanga ili kukwamisha na kuiba kura tua waomba vijana wetu mtakao simamia uchaguzi huu muwe makini kwani kuna mbinu zinazo sukwa kuhakikisha kuwa CHADEMA inapoteza vitongoji/Mitaa ambapo hata dawa za usingizi zime andaliwa kama mikakati ya kufanikisha mipango yao! Hakikisha una kaa mbali kidogo na wasimamizi wenza wa chama tawala wakati wote wa kusimamia zoezi la Upigaji Kura.Alisema MSOFE,Ambaye pia ni Diwani wa Kata hiyo Wakati akihutubia katika mtaa wa Mianzini,Kwa baba Bayo Juzi. Alijihakikishia ushindi wa kishindo na kusema wajumbe wote walio chukua fomu kupitia Chama cha mapinduzi kuwa bora wange rudisha fomu kabla hawaja dharirishwa. Kwasababu Hawataweza kushinda Mtaani kwangu ile hali mimi nipo! ****************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************** PICHA NA MAELEZO Mdau wa MJUMBE BLOG, ARUSHA

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top