Unknown Unknown Author
Title: UTAZAME MBUYU HUU WENYE UMRI WA MIAKA KUMI!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Pichani ni mti unao julikana kama Mbuyu, ************************************************************************************************...
Pichani ni mti unao julikana kama Mbuyu, ************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************ MBUYU Ni miongoni mwa miti inayo weza kuishi hata zaidi ya miaka mia moja pia ni miongoni katika miti mikubwa inayo patikana nchini mwetu hasa Ukanda wa kati na mashariki mwa nchi yetu. Utazame mbuyu huu,una umri wa miaka zaidi ya kumi lakini unaonekana kama una mwezi mmoja na nusu! Ni kama mti ulio kataa aridhi kumbe ndivyo ukuavyo.Kuna siku utakuwa na hakuna atakaye weza kuukumbatia akaweza. Mbuyu ni miongoni mwa miti michache nchini inayo weza ikahimili ukame kwa zaidi ya miaka kadhaa bila mvua wala maji kutoka nje na ukajihifadhia na kutejitengenezea chakula chake.Ndiyo maana huweza kupatikana hata katika aridhi kame na isiyo na rutuba ukimea na kustawi kama ulio kwenye rutuba na mvua ya kutosha. Hii ni ishara kuwa jambo jema siku zote huchukua muda sana kuota na huwezi ukalitambua kwa macho kwani halifanani fanani na hali halisi ya THAMANI yake.Ila kama utalipa muda ukasubiri utagundua uhalisia wake na ukubwa wa jambo lenyewew ulio kuwa umejificha tangu awali. Na Ili tupasa Akili zetu katika maisha tuzifananishe na ukuaji wa mbuyu... Tusi tamani mafanikio ya siku moja bali tufikiri njia za muda mrefu! Hata kizazi cha tatu na cha nne cha watakao iishi nchi hii.Tukomeshe ule utamaduni wa kujifikiria sisi tu kwani ulimwengu ni zaidi ya sisi. ************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************ Picha Na Mdau wa MJUMBE BLOG,Imepigwa katika makumbusho ya Kihistoria,Arusha

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top