

Pichani juu kabisa ni Mhe.Paschel Haonga(Mwenye shati la Draft aJekundu) akishiriki kwenye ukarabati wa Barabara ya Mlowo Kamsamba,ambayo ilikua ime haribika kwa kiasi kikubwa katika kipindi hiki cha mvua za Masika.
Alicho kiandika kwenye ukurasa wake!
"Baada ya ahadi sasa ni utekelezaji,"
hii ni bara bara ya Mlowo-Kamsamba
Post a Comment