Sunday, 31 May 2015

MALIMI BUSUNGU:AFUNGA PINGU MIAKA MIWILI JANGWANI!


Malimi Busungu,akisaini Mkataba.

Ni mkataba wa miaka miwili.


Mshambuliaji huyo machachari wa Mgambo JKT amesha funga pingu za miaka miwili na wana jangwani hao.

No comments:

Post a Comment