Pichani:Mdau wa Mjumbe Akiwa Amesha watoa kuku kadhaa kupeleka Sokoni ambao Walionekana ni Majogoo Bandani(kulia Pichani) ili wabaki tetea tu kwa ajili ya Kuvuna Mayai
Pichani Watoto Wa Mtaani wameamua kuchukua Nafasi yangu na Kutoa msaada wa kusukuma Mkokoteni
Haihitaji Usome Mpaka Chuo kikuu wala haihitaji Upewe Semina.Kazi ndicho kipimo cha Utu.Lazima ifike kipindi Ufanye kazi Halali.NGUVU UNAZO,AKILI UNAZO Kwanini Usijishughulishe??????
#Siku njema.
Elasto Mbella
MBOZI/MBEYA
Post a Comment