Unknown Unknown Author
Title: PICHA:JINSI MWILI WA MAREHEMU MOSHI CHANG'A ULIVYO AGWA NYUMBANI KWAKE MBAGALA,DAR
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
 Waombolezaji wakiwa wanalishusha Jeneza lilibeba Mwili wa Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Rukwa Moshi Chang'a Nyumbani Kwake Mbaga...

 Waombolezaji wakiwa wanalishusha Jeneza lilibeba Mwili wa Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Rukwa Moshi Chang'a Nyumbani Kwake Mbagala Kibonde Maji jijini Dar es Salaam jana Aprili 22, 2014.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kushoto na Mkewe Tunu Pinda wakitoa Heshima zao za Mwisho Mbele ya Jeneza lililobeba mwili wa Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Rukwa, Marehemu Moshi Chang'a Nyumbani kwake Mbagala Kibonde Maji jijini Dar es Salaam jana Aprili 22, 2014.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na Familia ya Marehemu Moshi Chang'a Nyumbani Kwa marehemu Mbagala Kibonde Maji jijini Dar es Salaam jana Aprili 22, 2014.
@MJUMBE Sr

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top