JE;UMESHA POKEA UJUMBE KUHUSU NAMBA +255 901 009 999! INGIA HAPA ILI UJE ILICHO KISEMA MAMLAKA YA MAWASIRIANO(TCRA)
Serikali yakanusha kuhusu namba +255 901 009 999!
- Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA Imesema Watanzania wanatakiwa kupuuza taarifa zinazosambazwa kuhusu kutopokea simu endapo utapigiwa kwa namba +255 901 009 999 kwamba utadhurika.
Chanzo:Jf
MJUMBE Sr
.jpg)
Post a Comment