Picha iki onesha baadhi ya wa andamanaji hao wakiwa wame beba mabango yap!
Picha Moja ya wa andamanaji hoa akitolea ufafanuzi wa azima yao ya Kuandamana.
Pichani ni Wananchi wa kata ya Manzese walio andamana kupinga bunge la Katiba linalo endelea Dodoma,kwa madai kuwa wame puuza maoni yao na wana jadili maoni ya chama tawala!
©Mjumbe blog Volunteers
Post a Comment