
Wizara ya Elimu ime tangaza Kustisha Mafunzo ya Ualimu ngazi ya cheti Grade A kuanzia Mwaka 2015 na kuwataka wanao taka Ualimu kuanzia Ngazi ya Stashahada(Diploma),ili kuboresha Elimu.
Aidha wizara ime futabadhabu ya kufukuzwa Shule wanafunzi wa kifato cha NNE na Cha SITA.
LIKE ukurasa wetu wa MJUMBE BLOG facebook au Ingia Moja kwa Moja Mtandaoni Kwa Kuandika Neno MJUMBE BLOG ili kupata Picha na Matangazo Mbali mbali.
©Mjumbe Blog Volunteers.
Post a Comment