
Mtanzania Hasheem Thabeet ame achwa na Detroit Piston Kwa ajili ya Msimu ujao kwenye ligi ya NBA.
Kume kuwa na Maoni tofauti yaliyo tolewa na Wapenzi na Mashabiki wa Mpira wa Kikapu ya Kwanini Wanadhani MTANZANIA HUYO NYOTA Ame achwa katika Msimu Ujao.
Credit:Shaffih Dauda.
Endelea kututembelea ili Ujue sababu.
LIKE page yetu ya MJUMBE BLOG au Tutembelee mtandaoni kwa Kuandika MJUMBE BLOG kisha ingia
hapo Upate Picha,Matangazo,Habari mpya na Taarifa Muhimu.
©Mjumbe Blog Volunteers.
Post a Comment