Unknown Unknown Author
Title: UKARIMU NA HIRUMA:HUYU NDIYE MPIGA DEBE ALIYE JITOLEA KWA YATIMA MILLIONI MOJA;MBEYA!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Pichani ni ndg Anganile Mwamuluma Andrea Ndugu Andrea Mwamuluma;Ambaye anajishughulisha na Shughuli ya Upiga debe katika Stendi ya Mbaliz...

Pichani ni ndg Anganile Mwamuluma Andrea

Ndugu Andrea Mwamuluma;Ambaye anajishughulisha na Shughuli ya Upiga debe katika Stendi ya Mbalizi Mbeya!
Ame zua mshangao miongoni mwa wa Tanzania baada ya kujitolea Zawadi zenye Thamani ya TSh.Milioni Moja kwa Yatima na Mbuzi mbili.

Ame kaririwa aki waasa Yatima hao kuwa Kamwe wasije wakatamani Kwenda kupiga debe kama yeye!


LIKE ukurasa wetu wa Facebook au Tutembelee Mtandaoni kwa kuandika MJUMBE BLOG ili upate Picha,Matangazo,Taarifa na Habari Muhimu mara kwara!

©Mjumbe Blog Volunteers.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top