
...Njiani kwenda Dar na Profesa njiani kwenda mikumi...
Tulichekiana hewani tukakutana Mdaula.
Mwanangu wa Lutengano sec school...
Anachukua jimbo la Mikumi kiuraini huyu.
Maneno hayo ya Eddo kwa Mwana Lizombe huyo yana kuja wiki chache tu baada ya Mkali huyo wa miondoko ya Bongo flave anaye julikana zaidi kqma Prof Jay kuonekana katika Matukio tofauti akiwa ana Hamasisha wananchi jukwaani kupitia chama kikuu cha Upinzani Nchini CHADEMA!
Maneno ya Eddo,ambaye ni miongoni mwa Wachambuzi maarufu nchini ame onesha kutotofautiana na Mkali huyo hata alipo mtabiria Ushindi katika jimbo la mikumi
Akisisitiza Zaidi alicho kisema awali Kumwembe ame kaririwa akisema
"Hata wakati Mr two katangaza nia mlidharau hivyo hivyo"
Like Page yetu MJUMBE BLOG facebook au Tutembelee Mtandaoni andika MJUMBE BLOG Kisha ingia hapo upate picha,Matangazo,Habari mpya,Taarifa muhimu kila mara.
©Mjumbe Blog Volunteers
Post a Comment