Unknown Unknown Author
Title: HUYU NDIYE MBONGO ALIYE TWAA DOLA 300,000 BIG BROTHER!!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mshindi wa Big Brother ‘hotshots’ 2014, Idris Sultan kutoka Tanzania aliyekuwa akituwakilisha ndani ya mjengo huo. KAMA TULIVYOITOA TAT...

Mshindi wa Big Brother ‘hotshots’
2014, Idris Sultan kutoka Tanzania
aliyekuwa akituwakilisha ndani ya
mjengo huo.
KAMA TULIVYOITOA TATHMINI MAPEMA
ASUBUHI YA LEO KUWA TANZANIA INA 90%
ZA USHINDI! NDIVYO ILIVYOKUA!
Mshiriki kutoka Tanzania aliyekuwa
akituakilisha ndani ya mjengo wa
Big Brother ‘hotshots’ , Idris
Sultan ameibuka kidedea katika
shindano hilo usiku huu na kunyakuwa
kitita cha dola 300,000 (Sawa na
510,186,000).
Fainali za Big Brother ‘hotshots’
zilianza saa 2 :00 Usiku huku Idris
akiwaongoza wenzake saba ambao ni
Tayo (Nigeria), JJ (Zimbabwe),
Nhlanha (Afrika Kusini), Sipe
(Malawi), Butterfly (Zimbabwe), Ma
mbea (Ghana) pamoja na Macky2 wa
Zambia.



©Mjumbe Blog Volunteers

posted from Bloggeroid

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top