Unknown Unknown Author
Title: MATUKIO PICHA ZAIDI YA KUMI :CCM NA CHADEMA WATUNISHIANA MISULI KAMPENI ZA LALA SALAMA;SERIKARI YA KIJIJI;MLOWO~MBEYA!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Ni katika viwanja vya Stendi ndipo Chama cha Mapinduzi kilipo kuwa kikihitimishia kampeni zake kwa kuwa Nadi wagombea wake wote wa Serikari ...
Ni katika viwanja vya Stendi ndipo Chama cha Mapinduzi kilipo kuwa kikihitimishia kampeni zake kwa kuwa Nadi wagombea wake wote wa Serikari za Mitaa na Kuwa taka wana nchi wa Mlowo,kuwa watulivu na kudumisha amani muda wote wa uchaguzi. Chama hicho pia kime wajulisha wananchi wali hudhuria kampeni hizo kuwa uchaguzi wa mwenyekiti wa Kijiji ume stishwa kwa muda na mahakama Mpaka tarehe 19 Disemba shauri litakapo sikilizwa na kutolewa maamuzi na Mahakama,hivyo kesho wananchi wajitokeze kuchagua wajumbe wa serikari za mitaa kwanza na kukipa ushindi CCM ili kiweze kuwatatulia matatizo yao ambayo hakuna chama kingine kinacho weza kuja kuyatatua. Pichani juu ni Taswira [Picha jinsi Chama cha mapinduzi kilivyo Hitimisha Kampeni zake Katika mji mdogo wa Mlowo leo Upande wa CHADEMA nao wali hitimisha Kampeni kwa kuamua kuzunguka mitaa yote ya mji mdogo wa Mlowo na Kutoa taarifa rasmi ya kuwepo kwa uchaguzi wa wajumbe wa serikari za mitaa isipo kuwa kwa nafasi ya mgombea wa uenyekiti wa kijiji ambaye shauri lake lipo mahakamani,hivyo kuwa taka wana nchi wasubiri mpaka mahakama itakapo toa hukumu.Ila kesho wajitokeze kuchagua wajumbe wa mitaa mbalimbali kwa wingi. Tazama picha zaidi hapa chini Baadhi ya wafuasi wa CHADEMA wakikatiza mitaa ya Mlowo leo jioni. ** Picha Zote na Mdau wa Wetu wa MJUMBE BLOG aliye kuwepo Eneo la Tukio

posted from Bloggeroid

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top