Pichani ni wafuasi wa CHADEMA wakipita mtaa wa Mabatini leo mchana kuwashukuru wananchi kwa kuwapa dhamana ya kuwa ongoza katika serikari za mitaaa
Wafuasi wa CHADEMA katika kijiji cha Mlowo waki pita mitaani,Pichani wana elekea Kitongoji cha bondeni
Hivi ndivyo wafusi wa CHADEMA katika kijiji cha Mlowo walivyo toa shukrani zao kwa wananchi baada ya kushinda katika Serikari za mitaa Uenyekiti wa mtaa na wajumbe wote
Pichani ni Wafuasi wa CHADEMA wakiendelea kukatiza katika mitaa mbali mbali na hapa ni mtaa wa Kiwandani
Hivi ndivyo walivyo kuwa wakisherehekea ushindi wao na kutoa neno la Shukrani wananchi wao kila mtaa wa Kijiji cha Mlowo *** Picha Zote na Mdau wa MJUMBE BLOG aliye kuwepo Eneo la Tukio,Mlowo Mbozi,Mbeyaposted from Bloggeroid
Post a Comment