Unknown Unknown Author
Title: PAC YABAINI MADUDU MENGINE BANDARINI! POSHO ZA SAFARI KWA SIKU ZAZUA MASWALI!!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
WAKATI Msajili wa Hazina amebariki posho mpya za safari za ndani kwa wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari Nchini (TPA) kuwa Sh 500,000 kwa ...

WAKATI Msajili wa Hazina amebariki posho mpya
za safari za ndani kwa wafanyakazi wa Mamlaka
ya Bandari Nchini (TPA) kuwa Sh 500,000 kwa
siku kuanzia Januari 2, mwaka huu, imebainika
kuwa walishaanza kulipana hivyo tangu mwaka
2011.
Hayo yalibainika jana wakati wa Kamati ya Bunge
Hesabu za Serikari (PAC), ilipokutana na
Menejimenti ya TPA jijini Dar es Salaam.

posted from Bloggeroid

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top