Unknown Unknown Author
Title: ALIPA MILIONI 4 KWA KUCHAFUA WAZIRI MKUU MHE.MIZENGO KAYANZA PITER PINDA!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mmliki wa hali halisi publishers bwana Kubenea ametakiwa kulipa milioni 4 kwa defamation ya chapisho no. 096 la mei 7 2008 lilichapisha hab...

Mmliki wa hali halisi publishers bwana Kubenea ametakiwa kulipa milioni 4 kwa defamation ya chapisho no. 096 la mei 7 2008 lilichapisha habari iliohusu tuhuma za ufisadi katika shirika la bima la taifa NIC kumfikia waziri mkuu Mizengo Pinda.

Hukumu hiyo imetolewa na Màhakama Kuu Kanda ya Arusha wakitakiwa kulipa milioni 4 kuanzia Leo mpk April I 30 1016. Pamoja na kuomba radhi ambapo toleo la Leo la mawio limefanya hivyo.

Soma Mawio kwa radhi walioomba.



MJUMBE BLOG
Ni Ukurasa wa Habari,Picha,Matukio,Matangazo.

#KUJERUHI hisia za watu/mtu si Kusudi letu.
MAONI PIGA:0752025002

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top