![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhrzqvGI3WiURPEXydwwtsPDnURIYw_WYSz4Ixt4H4BcCq7KzCqbLjzHxknbtqXA7pxmE4Gf_8p0WdX7NHv6yMKHnwFmgzBLyTDJ3i_NENbUki7GaTCGxC0zH2A_leN451Z1CAHEGvUXXw7/s640/1430590620657.jpeg)
MmH!
Maana kuna watu ni kero haswaa!
Pombe aagize yeye lakini akikuona umeingia eneo hilo bili ana ielekeza kwako!
Wakati ana ona mwenyewe ume agiza maji na glasi.
Hawana maana kabisa jamaa hawa.
Uungwana ni vitendo.
HUNA HELA;WEKA PRISON BREAK chumbani kwako jifungie huko iki isha weka 12 YEAR A SLAVE!!
STAREHE GHARAMA.
MJUMBE BLOG
Ni Ukurasa wa Habari,Picha,Matukio,Matangazo.
#KUJERUHI hisia za watu/mtu si Kusudi letu.
MAONI PIGA:0752025002
Post a Comment