Unknown Unknown Author
Title: MGOMO WA DALADALA WAWATESA WASAFIRI NA WATAHINIWA WA KIDATO CHA SITA!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Pichani ni hali ilivyo kwa wasafiri katika baadhi ya vituo vya Daladala leo,Dar es salaam Kuna taarifa pia kutoka mkoani Kigoma za kufan...

Pichani ni hali ilivyo kwa wasafiri katika baadhi ya vituo vya Daladala leo,Dar es salaam


Kuna taarifa pia kutoka mkoani Kigoma za kufanyika kwa Mgomo wa daladala;
Ambapo ripota wetu ameshuhudia wananchi ambao ni abiria waki tembea kwa miguu badala ya kuabiri kwenye vyombo vya usafiri kama kawaida.

Katika baadhi ya maeneo ambayo mgomo wa daladala ume tekelezwa;
Watahiniwa wa kidato cha sita wame onekana kupata wakati mgilumu kuwasiri vituoni mwao jambo ambalo lime zungumziwa kama ni kuhatarisha kesho ya watahiniwa na Taifa kwa ujumla kwa mashuhuda.


Kwa matukio na Update mbali mbali Tutembelee MJUMBE BLOG Mtandaoni kila mara.




MJUMBE BLOG
Ni Ukurasa wa Habari,Picha,Matukio,Matangazo.

#KUJERUHI hisia za watu/mtu si Kusudi letu.
MAONI PIGA:0752025002

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top