![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijD2qZzh9ogbgbSVm_VpLB1Z3G81Rlfa4qm7rCoViIWluHP8D6u69aHfCEEXz6lWY2Yr15QNkQV97saKPn6gswX8UuNxozMNDDscmCdOgWcMNbLrljZnWQtMJ3PrCmb-d7w7Zdlw5QZipv/s640/1430755086139.jpeg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh1NYQrkSvk4mWv4ePKK_nQV2DmA2yhXAmbrTARe_Z9EO5wQf-urniOXVtK5Qfpy6TBZLLg4ZFaltR1PtPeJwr5FRAVsgwiBXVUScn0vMFP7dlV1hzuQPRXQngLw0MBUELXy1KsIE9uGoqs/s640/1430755108644.jpeg)
Moto mkubwa ukiendelea kuteketeza moja ya jengo lililopo kwenye makutano ya Mtaa wa LivingStone na Narung'ombe, Kariakoo jijini Dar es salaam muda huu. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika mpaka sasa.
MJUMBE BLOG
Ni Ukurasa wa Habari,Picha,Matukio,Matangazo.
#KUJERUHI hisia za watu/mtu si Kusudi letu.
MAONI PIGA:0752025002
Post a Comment