CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDEKELEO
(CHADEMA)
RATIBA YA UCHUKUAJI FOMU, VIKAO VYA UCHUJAJI NA UTEUZI WA WAGOMBEA NDANI YA CHAMA UCHAGUZI MKUU MWAKA 2015.
18/05 – 25/06/2015
Kuchukua na kurejesha fomu za Udiwani Kata ambazo hatuna Madiwani.
Makatibu Kata/Jimbo na Wilaya
01/7 – 10/7/2015
Kuchukua na kurejesha fomu Kata ambazo tuna Madiwani.
Makatibu Kata/Jimbo na Wilaya.
15/7 – 20/7/2015
Uteuzi wa mwisho Wagombea Udiwani Kata pamoja na wale wa Viti maalum.
Kamati Tendaji za Majimbo.
18/5 – 25/6/2015
Kuchukua na kurejesha fomu za Ubunge Majimbo ambayo hatuna Wabunge kwa sasa, pamoja na Fomu za Ubunge wa Viti Maalum.
Makatibu wa Majimbo, Wilaya, Mikoa na Makao Makuu.
6/7 – 10/7/2015
Kuchukua na kurejesha fomu za Ubunge Majimbo ambayo tuna Wabunge kwa sasa.
Makatibu wa Majimbo na Wilaya.
20/7 – 25/7/2015
Uteuzi wa awali wagombea Ubunge.
Kamati Tendaji za Majimbo.
20/7 – 25/7/2015
Kuchukua na kurejesha Fomu za Mgombea Urais.
Makao Makuu
1/8 – 2/8/2015
Uteuzi wa mwisho wa Wagombea Ubunge kufanyika.
Kamati Kuu Taifa.
3/8/2015
Baraza Kuu Taifa
Kamati Kuu
4/8/2015
Mkutano Mkuu Taifa
Baraza Kuu
Post a Comment