Unknown Unknown Author
Title: KUMBUKUMBU PICHANI PASCAL HAONGA AKINADI SERA KIJIJINI HALAMBO,MBOZI;HUU NDIO UMATI ULIO JITOKEZA!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mgombea udiwani kwa tiketi ya UKAWA/CHADEMA ndugu Maarifa mwashitete akinadi sera zake katika mkutano wa kumnadi Mgombea ubunge w a j...
Mgombea udiwani kwa tiketi ya UKAWA/CHADEMA ndugu Maarifa mwashitete akinadi sera zake katika mkutano wa kumnadi Mgombea ubunge w a jimbo la Mbozi Ndugu Pascal Haonga
Mgombea ubunge w a jimbo la Mbozi Ndugu Pascal Haonga akinadi sera zake kwa wana Halambo jana.
Ndugu Pascal Haonga alivyo pokewa kwa Ngoma za asili na wana kijiji cha Halambo alishindwa kujizuia na akaamua kucheza pia(wa pili kutoka kushoto mwenye sare ya kaki na kofia nyeusi pichani).

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top