Unknown Unknown Author
Title: TAHALUKI:MGOMBEA UBUNGE LUSHOTO KUPITIA CHADEMA AFA KWA ACCIDENTI YA GARI...
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mgombea ubunge wa jimbo la Lushoto mkoani Tanga,   Mohamedi Mtoi Kanyawana   wa UKAWA kupitia CHADEMA, amefariki dunia jioni hii...


Mgombea ubunge wa jimbo la Lushoto mkoani Tanga, Mohamedi Mtoi Kanyawana wa UKAWA kupitia CHADEMA, amefariki dunia jioni hii baada ya gari walilokuwa wamepanda kupata ajali wakiwa wanatoka kwenye kampeni za uchaguzi mkuu zinazoendelea.
Mpaka mauti yanamkuta Mohamed Mtoi, alikuwa ni afisa Mwandamizi Idara ya Uratibu wa Kanda makao makuu ya CHADEMA.





About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top