Unknown Unknown Author
Title: MBUNGE AKABIDHI GARI YAKE KWA WANANCHI,KWA AJILI YA WAGONJWA NA MISIBANI....!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mbunge wa jimbo la Kilombero Kupitia tiketi ya Chadema Mh  Peter Lijualikali  amekabidhi gari lake kwa wananchi wa kilombero Chini ya ...

Mbunge wa jimbo la Kilombero Kupitia tiketi ya Chadema Mh Peter Lijualikali amekabidhi gari lake kwa wananchi wa kilombero Chini ya usimamizi wa ofisi ya mbunge kwa ajili ya shughuli za kijamii ikiwemo kubebea wagonjwa,Kusaidia kwenye misiba nk
Gari alilotoa ni land Rover Defender 110 lenye Namba za usajili T 166 DFR

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top