Unknown Unknown Author
Title: UHASIMU NA LUGHA CHAFU BAINA YA MADEREVA UMESABABISHA UHARIBIFU HUU...
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Hapa tena ni maeneo ya stendi ya mabasi mlowo na kama inavoonekana pichani gari la abiria likiwa limegongwa sehemu ya mbele kabisa ...
Hapa tena ni maeneo ya stendi ya mabasi mlowo na kama inavoonekana pichani gari la abiria likiwa limegongwa sehemu ya mbele kabisa Mashuhuda wamesema kuwa chanzo cha accidenti hii ni uhasimu wa madereva hawa walipokuwa njiani kabla ya kufika eneo hili na nilipojaribu kuuliza zaidi nkaambiwa dereva wa gari la abiria alitoa lugha ya matusi na kumnyima njia dereva wa gari kubwa na ndio sasa dereva huyo kumgonga kwa makusudi.. Na Mjumbe Jr Mlowo

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top