Unknown Unknown Author
Title: KANISA KATOLIKI TANZANIA LIMEWATAKA WAJUMBE WA UKAWA KURUDI BUNGENI!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kanisa katoliki limewataka wajumbe wa bunge la katiba wanaounda umoja wa katiba ya wananchi Ukawa kurudi bungeni na kuendelea kuijadili ...
Kanisa katoliki limewataka wajumbe wa bunge la katiba wanaounda umoja wa katiba ya wananchi Ukawa kurudi bungeni na kuendelea kuijadili rasimu ya pili ya katiba bila masharti yoyote huku bunge hilo likitahadharishwa na upotoshwaji au uchakachuaji wowote utakaofanywa dhidi ya rasimu hiyo ambayo ni maoni yaliyokusanywa kutoka kwa wananchi. Kanisa katoliki limewataka wajumbe wa bunge la katiba wanaounda umoja wa katiba ya wananchi Ukawa kurudi bungeni na kuendelea kuijadili rasimu ya pili ya katiba bila masharti yoyote huku bunge hilo likitahadharishwa na upotoshwaji au uchakachuaji wowote utakaofanywa dhidi ya rasimu hiyo ambayo ni maoni yaliyokusanywa kutoka kwa wananchi. Credit:itv tz MJUMBE Sr
01 Jul 2014

About Author

Advertisement

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top