Mkali huyo wa mziki wa kufoka anaye miliki internet cafe iliyopo eneo la chuo kikuu Teofilo Kisanji,Main Campus Mbeya.Amejikuta katika hali ya sinto fahamu baada ya Ofisi yake hiyo kuvunjwa na Kompyta sita kuibiwa.
Amewaomba raia wema kutoa taarifa pindi watakapo mwona ama kusikia mtu mtu ana uza Kompuyta kwa njia zisizo halali.
Home
»
»Unlabelled
» RAPPER IZZO BIZNESS ALIZWA NA WAHUNI;WAVUNJA INTERNET CAFE YAKE
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment