Pichani ni Jackie Cliff na Rafiki yake
Katika Ukurasa wake wa Tweeter Mwamvita Makamba ameandika Maneno Haya:
"GIRLS;KAMA HUNA AKILI,
HUJASOMA NA HUNA KAZI,
KAMA NI MVIVU NA SIO MBUNIFU,
MPENDA DEZO,HUNA UWEZO
HONEST LIVING MARA MIA BUZI SIO SEMBE".
Post yake Hiyo imekuja mara tu baada ya Habari za Mtanzania Jackie Cliff(28),Kukamatwa na Madawa ya Kulevya nchini China aina ya Heroine,Kilo 1.1 akiwa na Wenzake walio kimbia baada ya kuona mwenzao amekamatwa,Ina semekana Mmoja ni Mnigeria na Mwingine ni Mtanzania kati ya hao walio kimbia.
#Sisi Timu nzima ya MJUMBE BLOG tuna Sema:
Don't Try,This at Home;result may vary!
Mjumbe
Home
»
»Unlabelled
» BINTI WA MAKAMBA:MWAMVITA AMRUSHIA DONGO MREMBO ALIYE KAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA CHINA!
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

Post a Comment