Wananchi wanao ishi Morogoro,Mazimbu jana walijikuta katika hali ya sinto fahamu baada ya kitu kilicho dhaniwa bomu kuonekana maeoneo ya kanisani bustanini.Wataalamu walifika eneo la tukio na kuchukua chuma hicho.
RPC Moro F Shilongile asema leo Kime kabidhiwa rasmi kwa wataalamu wa JWTZ.Ameeleza kuwa Hakuna raia aliye jeruhiwa.
Home
»
»Unlabelled
» TAHARUKI KITU KILICHO DDHANIWA KUWA NI BOMU MAENEO YA MAZIMBU MOROGORO;RPC ATOLEA UFAFANUZI ZAIDI!
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment