Unknown Unknown Author
Title: WALINDA AMANI WAUAWA NCHINI SUDANI!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Umoja wa mataifa umesema walinda Amani wawili wame uawa wakati wakifanya Doria Eneo lenye Mzozo nchini Darfur Sudan. Afisa mmoja wa Jord...

Umoja wa mataifa umesema walinda Amani wawili wame uawa wakati wakifanya Doria Eneo lenye Mzozo nchini Darfur Sudan.
Afisa mmoja wa Jordani na mlinda Amani wa Senegal wali uawa wakati msafara wao ulipo shambuliwa na watu wasio julikana wenye Siliaha jana,Jumapili.
Katika miezi mitano iliyo pita zaidi ya wanajeshi 12 wa kimataifa kutoka kwenye mpango wa kulinda Amani wame Uawa huko Sudani.
Eneo la Sudani limegubikwa na ghasia  tangu mwaka 2013 wakati waasi walipo chukua Silaha dhidi ya serikari.Huko Khartoum wakishutumu kwa Kutengwa.

chanzo:VOA swahili

MJUMBE sr
MBEYA

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top