Wauzaji wa mbogamboga na matunda katika maeneo yanayo zunguka soko kuu la kariakoo maalufu kama wachuuzi wengi wao wamekuwa hawazingatii suala zima la afya ya mlaji,jambo la kushangaza mamlaka husika zipo lakini hawachukui hatua juu ya jambo hili.
Chanzo:Mjengwa blog
Chanzo:Mjengwa blog
Na Mjumbe Jr
Post a Comment