Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP
SUZAN KAGANDA akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio la mauaji
ya askari Polisi wawili ambao waliuawa wakati wakijitayarisha
kukabiliana na Majambazi watatu waliovamia nyumbani kwa mfanyabiashara
aliyefahamika kwa jina la IBRAHIMU MOHAMED mkazi wa Ussoke ambapo
walipora zaidi ya shilingi milioni moja na laki mbili pamoja na vocha za
simu zenye thamani ya shilingi laki moja na ishirini elfu.Kamanda SUZAN
alisema majambazi hayo yalikuwa yakitumia bunduki aina ya SMG.
|
Home
»
»Unlabelled
» MAJAMBAZI YAUA ASKARI POLISI WAWILI KWA RISASI
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Post a Comment