Inspekta Mwanadamizi Idara ya udhibiti Maswala ya Anga,Mutesigwa Mango ,akifafanua jambo kuhusiana na ajira za Maarubani na wahudumu wa ndege hapa nchini wakati wa mkutano na wahariri wa vyombo vya habari uliohusu kanuni na taratibu za Mamlaka hiyo,Mkuatano huo ulifanyika katika hoteli ya Peacoco jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)Fadhili Manongi .Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Udhibiti Masuala ya Anga Julius Kamhabwa.
Afisa habari wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Bestina Magutu( kulia)akiwa tambulisha Wakurugenzi wa Mamlaka hiyo kwa wahariri wa vyombo vya Habari nchini katika mkutano uliofanyika katika hoteli ya Peacoco jijini Dar es Salaam.ikiwa ni mahususi kwa wahariri vyomba mbalimbali nchini.
Baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari wakiwa katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam ulioandaliwa na Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ambao ulilenga kuwapa elimu juu ya shughuli zinazofanywa na mamlaka hiyo.
Chanzo:Mjengwa blog
Mjumbe Jr
Post a Comment