Watumishi wa Mungu (katikati) wakifanya maombi baada ya maziko.
Mchumba wa marehemu George Saguda (kushoto) akiweka udongo katika kaburi la Rachel na mwanae.
Msanii Blandina Chagula 'Johari' akiweka udongo kaburini.
Mjomba wa marehemu, Evance Haule (kushoto) akiweka udongo katika kaburi la marehemu.
Ndugu wa marehemu wakiweka mchanga katika kaburi la marehemu Rachel Haule.
Mafundi wakichanganya zege.
Mafundi wakisawazisha zege.CHANZO:GP
Post a Comment