Unknown Unknown Author
Title: RECHO HAULE AZIKWA LEO KWENYE MAKABURI YA KINONDONI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Nyerere akiweka shada la maua katika kaburi la Recho. Ndugu wa marehemu wakiweka mashada. Wasanii wa Bongo ...

Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Nyerere akiweka shada la maua katika kaburi la Recho.

Ndugu wa marehemu wakiweka mashada.

Wasanii wa Bongo Muvi kutoka kushoto Aunt Lulu akiwa na wenzake.

Watumishi wa Mungu (katikati) wakifanya maombi baada ya maziko.

Mchumba wa marehemu George Saguda (kushoto) akiweka udongo katika kaburi la Rachel na mwanae.

Msanii Blandina Chagula 'Johari' akiweka udongo kaburini.


Mjomba wa marehemu, Evance Haule (kushoto) akiweka udongo katika kaburi la marehemu.

Ndugu wa marehemu wakiweka mchanga katika kaburi la marehemu Rachel Haule.

Mafundi wakichanganya zege.

Mafundi wakisawazisha zege.

CHANZO:GP

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top