Ni siku ya kwanza tangu kampeni za uchaguzi wa rais wa serikali ya wanafunzi Chui kikuu cha Sokoine Morogoro kuanza rasmi na haya ndio yaliyojiri jioni ya leo
Hapa moja ya wagombeaji wa nafasi hiyo akijiandaa kuondoka maeneo ya hapachuoni(MAIN CUMPOS) na kwenda maeneo ya Mazimbo kuendelea na kampeni zilizoanza leo jioni
Wapambe nao na harakati za hapa na pale kama inavyoonekana pichani
Kukiwa na upinzanimkali miongoni mwa wagombea wa nafasi hio ya urais na hapa(picha chini)ni mmoja wa wagombea hao.Huyu hapa anaitwa Mteri,Braka S kutoka main compas na mgombea mwenza wake Kivuyo Emmanuel
Endelea kuungana na mimi katika pilikapilika hizi za uchaguzi ili uweze kujua kinachojiri hapa Chuo kikuu Sokoine,Morogoro
JR




Post a Comment